Tuesday, March 28, 2017
Monday, March 27, 2017
Friday, March 24, 2017
Thursday, March 23, 2017
Hawa ndio mastaa waliompatia Harmorapa jina hilo...
Harmorapa amefunguka kwa kuwataja mastaa waliosababisha kutumia jina analotumia sasa kwenye muziki.
Akingea kwenye kipindi cha Bongo Dot Home cha Times FM, rapper huyo amemtaja Roma na Mr T-Touch kuwa ni watu ambao walimshauri kutumia jina la Harmorapa.
“Baadhi ya mastaa wakubwa katika muziki wa hapa Bongo nao walinishauri nijiite hivi, akiwemo brother Roma Mkatoliki na Mt T-Touch,” amesema rapper huyo.
Harmo ameongeza kuwa kabla ya kutumia jina hilo alikuwa akifahamika kwa jina la Jembe la Kusini
Wednesday, March 22, 2017
Weusi wachukua kijiti cha ubalozi wa Airtel toka kwa Navy Kenzo..
Weusi wametangazwa Jumanne kuwa mabalozi wapya wa Airtel Tanzania. Wametangazwa kuwa mabalozi wa huduma mpya ya kampuni hiyo iitwayo HATUPIMI BANDO.
Kundi hilo linaloundwa na Joh Makini, Nick wa Pili na G-Nako limechukua nafasi hiyo kutoka kwa kundi la Navy Kenzo ambao walikuwa mabalozi wa huduma nyingine mwaka jana.
Video Player
00:00
01:00
Subscribe to:
Posts (Atom)