Tuesday, September 27, 2016

Huyu ndiye staa aliyeweka rekodi ya kufikisha followers milioni 100 kwenye Instagram.....

Selena Gomez amekuwa staa wa kwanza duniani kufikisha idadi ya followers milioni 100 kwenye mtandao wa Instagram.
selena
Kwa mara ya kwanza Selena alimnyang’anya taji hilo Taylor Swift mwezi Machi mwaka huu baada ya kufikisha followers milioni 69.7 wakati huo Taylor akiwa na followers 69.3m.
img-20160925-wa0007-1
Na sasa nafasi ya pili inashikiliwa na T-Swift mwenye followers milioni 91.4, Beyonce milioni 85.5m, Kim Kardashian 83.6m.

No comments:

Post a Comment