Friday, September 23, 2016

Waziri Kindamba ateuliwa kuwa Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL....

TTCL imepata bosi kijana, Waziri Waziri Kindamba.
dsc_5652
Uteuzi huo uliofanywa na Rais John Magufuli, umetangazwa Ijumaa hii.
ctbmz7yweaa2rlt
Kupitia blog yake, Kindamba anajielezea kama: ni mhitimu wa shahada ya Uzamili katika Uongozi wa Biashara na Shahada ya Benki, Uchumi na Sheria) mwenye ujuzi wa Teknohama na uwezo mkubwa wa kujenga uhusiano aliye tayari kukabaliana na changamoto na kuzitumia fursa zilizopo jimboni . Mwenye uwezo wa kufanya kazi mahali popote aliye na ufahamu wa hali ya juu wa masuala ya Benki, Uchumi, Benki na Sheria za Biashara, Fedha na Stadi za Maendeleo.

No comments:

Post a Comment