Tuesday, July 26, 2016

KASEJA APATA DILI LA KUFUNDISHA SERENGETI BOYS...



anaungana na kikosi hicho ambacho kinasafiri kwenda kambini Madagascar kupitia Afrika Kusini. Kaseja amechukua nafasi ya kocha wa makipa aliyekuwepo awali ambaye anabaki nchini kwa ajili ya kushiriki kozi za ukocha.
Kipa huyo alikuwa katika mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya na Mbeya City
kaseja2

No comments:

Post a Comment