Sunday, July 24, 2016

TAZAMA CHAMA CHA SIASA, LULU ANACHOKIPENDA.....



Alipoulizwa yeye shabiki wa chama gani cha siasa?, Elizabeth Michael ‘Lulu’ alijibu hivii; "Mimi sina chama, ndiyo maana hata katika kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka jana, sijaonekana kwenye jukwaa lolote. Miye naamini kura ni siri na nilifanya hivyo ili nisifungamane na upande wowote." Alifanya vizuri au alichemka?

No comments:

Post a Comment