Thursday, July 28, 2016

Picha na Video: Papa Francis aanguka ghafla akiongoza misa nchini Poland.....




Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ameanguka ghafla wakati akiendelea na misa huko nchini Poland baada ya kujisikia vibaya. Inadaiwa Papa husumbuliwa na tatizo la maumivu ya miguu na mgongo. Hata hivyo hakuumia. Tazama picha na video za tukio hilo.

[UNSET]

36A9D77F00000578-3712379-image-a-55_1469700446652

36A9FFCC00000578-3712379-image-a-37_1469699026283

36AA1A9300000578-3712379-image-a-48_1469700376884
36AA11E300000578-3712379-The_79_year_old_pontiff_stumbled_at_the_altar_and_had_to_be_help-a-34_1469699026168

No comments:

Post a Comment